Picha12 za Muhammad Ali kuanzia siku ya kwanza alipoitembelea Afrika.

Wakati saa chache zimebaki kabla ya kuzikwa bondia maarufu Muhammad Ali huko Marekani, kuna hizi picha zake za miaka hiyo wakati alipoitembelea Afrika, ziara yake ya kwanza kuja Afrika ilikua ni mwaka 1964 na alianzia Ghana.
Moja ya nukuu zake kuhusu Afrika ni hii >>> ‘Nataka kuiona Afrika na kukutana na Kaka na dada zangu
m2
Nukuu nyingine ya Muhammad Ali baada ya kuja Afrika >>> ‘Nafuraha kuwaambia watu wangu kwamba kuna vitu vingi vya kujionea Afrika zaidi ya Simba na Tembo, hawakuwahi kutuambua kuhusu vitu vizuri vya Afrika kama Vyuo, Hospitali, Maua mazuri’
m3
Nigeria
m6
Muhammad Ali alipoitembelea Misri.
m4
m7
Alipoitembelea tena Misri mwaka 1986 akiwa tayari amebadili dini na kuwa Muislamu.
m9
Kiongozi wa Zaire enzi hizo Mobutu Sese Seko akiwa kwenye picha na watu wengine akiwemo Muhammad Ali ambapo kiongozi huyu aliandaa pambano na kukubali kumlipa kila mpambanaji kwenye pambano aliloandaa kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 5 kila mmoja.
m11
Pambano lililoandaliwa Congo DRC enzi hizo Zaire
m12
Alipoitembelea Sudan mwaka 1988
m10
m13
Mwaka 2005 Muhammad alikutana kwa mara ya kwanza na rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela
m8
Kinshasa mwaka 1974