Aliyekuwa Mke wa Mh Mbunge Sugu Faiza Ally Atangaza Mtandaoni Kuwa Ana Hamu ya Kufanya Mapenzi


Wadau nashindwa kuelewa kwanini tuna jikuta tunaingia kwenye mahusiano ya kipuuzi namna hii hivi kweli ni maadili ya afrika ndo yamefikia huku kweli jaman mke wa mbunge wa mbeya ,mjini sugu anatangaza mtandaoni kua ana hamu ya kufanya mapenzi na kuona hii hali ni ya kwaida kwake watu tusishituke kabisa

Soma Alichoandika Hapa Chini :

"Natamani sana kufanya Sex nikikwambia Nina muda gani sijafanya huwezi kuamini-I NEED SEX # GOOD ONE "


Toa Maoni yako kuhusu Faiza Ally Kutangaza kuwa Ana hamu ya Ku do....