Picha za Shilole Zazua Gumza Mtandaoni, Mchumba Wake Nuhu Mziwanda Asema Haya Kumtetea


I love you is My Country aka Shilole Kiuno Amejikuta tena leo akiwa Gumzo la watu mitandaoni baada ya picha zenye utata akiwa jukwaaa kuzagaa kwenye mitandao mbali mbali na kujadiliwa hasa Instagram.....

Baada ya Picha hizo Kusambaa Mpenzi wake aliingia mtandaoni na kuposti haya maneno kumtetea:

"Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine wanateleza kwa stage'huyo paparazi aliopiga picha alifanikiwa kuzoom na kipata picha mbaya lakin katika hali ya kawaida na watu waliokua wakicheza nae hawakuweza kugundua lolote'na kiubinaadamu kama muhandishi wa habari hakupaswa kuchagua picha ambayo kaonekana vibaya mana naamini alipata picha nyingi nzuri tu za kupost ila aliamua tu kumchafua'So Mashabiki kumbukeni alikua yupo kazini hakupanga itokee ivyo na yote mradi atoe burudani nzuri kama mlivyomzoea''ambae hana upeo mdogo wa kufikiria ataongea shit ila kaa jiulize ingekutokea wewe ungesemaje?naomba mtusaidie kurepost hii habari'tunawapenda sana"

Haya ni Baadhi ya Maoni ya watu mbali mbali waliokasirishwa na Picha hizo:


MrekebishaTabia
Sitaman hata kuibandika hii picha hapa...kichefuchefu!! hii tabia chafu iliyopitiliza...na si mara yako ya kwanza @shilolekiuno unafanya vituko tadhan mtoto mdogo wkt mtu mzima na watoto wakubwa. Si bahati mbaya amefanya kusudi... mtu mwenyewe kuimba hujui na hata kujiheshimu unashindwa? Kale kaheshima kadogo ulikonako kwa shabiki zako utakapoteza, soon tutasikia umerudi kucheza tamthilia. ....Sijui umekunywa pombe za wapi wewe...!!!

ambassador_angelo

Pole mdada hahaha kazi ndo zilivyobwe kioo cha jamii siku nyingine vaa vizuri sawa mdada mzuri eeeee

mimas_wa_pwiiii

sasa@shiloleliuno kwani hakunaga nguo zenye heshma Dada yangu mbona hiyo nguo IPO wazi kupitiliza ivi mbona wanaume wanavaa vizuri tu kwenye shoo zao why nyie madada hamujiheshimu asee hii sibahti mbaya imekusudiwa nguo yenyewe ni uchi tosha na iyo sidiria ulitegemea Haiti vukaa ebu jiheshimuni bwana munaboaa tuachieni ujinga wenu stejin kwani mukivaa nguo zinazo still hapo kidogo mnakuwa hamujui kuchezaa sheeenzeee zenu wakaa uchi wotee

nyota_ya_warembo

Anamaudhi sana havumiliki kabisa, utavumilia hili baadae anaibuka najingine aisee tutamvumilia mpaka lini!!!!!! Nampenda sana lakini anakero sana, niaibu kusema mbele za watu shilole 'nampenda' watakushangaa

johar_seleman

Afu hapo mbona km kabambiwa ivi mcheki uyo mshua anavomtolea minjicho hahaaaaa ni shigidiiii shidaaa