DAAH!! SIKU HIZI CHUPI HAZIVALIWI KABISAA!!SHUHUDIA MWENYEWE!!

Siku Hizi fashion imekuwa kitu cha kituko sana hasa kwa hawa madada du wa hapa Town... Embu niambie Vazi kama hilo unavaa mbele ya Boyfriend wako eti kwa kisingizio cha Kwenda na wakati.
  
na wewe mwanume shababi tena uliyekamilika katika idara zote unakubali Girlfriend wako avae upumbavu kama huo... unajisahau kuwa kuna Kenge wanatoa macho huko nje kila siku kwaajili ya kuharibu mahusiano yenu....Na hii ni dhahiri kwenu wadada kuwa nyie ndo mnaeneza uchafu na kusababisha upungufu wa maadili katika nchi yetu! Ninacho waomba kwamba mkome na mkomae kama mlivyofunzwa na mama zetu huko kwenu kutuvalia nguo za aina hiyo kwa madai ya Fashion.