USHAURI:NYUMBA NDOGO IMEATHIRIKA MIE MZIMA

Habari
mi ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja, nina mpz nje ya ndoa yangu ambaye anakaa kwao. nimekuwa na uhusiano nae kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili sasa; sijawahi kwenda nae kupima licha ya yeye kudai mara ya mwisho alipima mwaka 2007 na alikuwa safi lakini mimi huwa napima mara kwa mara.
hivi karibuni alikuwa mbali nami kwa masomo ingawa mawasiliano yalikuwepo kama kawaida na nilikuwa namtania kuwa hata kama naibiwa basi tumieni kondom, utani huo ulionekana kumkera hata kufikia kusema akiridi kabla ya kukutana tupime kwanza nikamkubalia.