NI SHIDAAA,MBAVU ZANGU JAMANII!!

 Hhaha, inachekesha sana jamani....hawa ni watoto wa familia moja ya kipekee sana duniani!! Inawezekana kabis a wakawa wameingia kwenye maajabu saba ya dunia. Kuna mmoja huyo anayekuangalia anatafuta mke, anataka kuja KUKUTOLEA POSA WEWE UNAYESOMA HII HABARI. Teh teh teh.....Samahani natania haha